
DIAMOND NEW BABY BOY
06th Dec 2016 03: 35am SA time…… 04: 35am EAST Time…. 02: 35am WEST Time…. 01: 35 am NORTH Time, A NEW STAR WAS BORN in NETCARE HOSPITAL / PRETORIA / SOUTH AFRICA…. unfortunately his parents Dad & Mom haven’t agreed on the name…. that’s why it even took time, to his advent to be on his parent’s Social media Pages….. Let’s wait and See, what @zarithebosslady & @Diamondplatnumz will ended up call him…
(Tareh 6/ 12/ 2016 saa kumi na dakika 35 Staa Mpya wa akiume alizaliwa katika hospitali ya NETCARE iliyopo mjini Pretoria / South Africa… kutokana na wazazi wake kutofikiana Muafaka wa mtoto aitwe jina gani, ilipelekea mtoto huyo kuchelewa kupostiwa kwenye Mitandao ya kijamii ya Wazazi wake…. tusubiri tuone @zarithebosslady na @DiamondPlatnumz wataishia kumpa jina gani Mtoto wao…✍ )